katika

Kathikas (Greek: Κάθηκας) is one of the Laona villages in the Paphos District of Cyprus. It is situated on a plateau 23 kilometers north of Paphos. It has an altitude of 655m and a population of 333.
It is well known for its grape production, such as xynisteri grapes.
It also has a flourishing agrotourism industry.
Kathikas has a very active Residents Association Additionally, Kathikas has residences that are over a century old and serve as examples of folkloric architecture.

View More On Wikipedia.org
  1. JamiiForums Tanzania Je haiwezekani katika bwawa la rufiji wakapandikizwa sato?

    Ili watanzania baada ya miaka miwili wafaidi kitoweo hiki adhimu sana na kinono?... Bila kufanya biashara ya kuwalisha na kupata gharama za ziada, yaani waishi katika misingi ya asili, je linawezekana? #Wajuzi mtujuze! -SATO -SANGARA
  2. M

    JamiiForums Tanzania AINA YA MAJAJI WA MAHAKAMA KUU KATIKA UISLAM. JEE BADO WAPO KWA SASA?

    Katika Uislamu, jaji (qāḍī) ana jukumu kubwa sana la kusimamia haki na kuhukumu baina ya watu kwa mujibu wa uadilifu. Mtume ﷺ alitoa maonyo makali kuhusu nafasi hii kwa sababu jaji anaweza kuingia katika dhuluma ikiwa atahukumu bila elimu, ushahidi au uadilifu. Hadithi maarufu kuhusu majaji...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Watu Wenye Ushawishi mkubwa katika Historia

    Nimetoa Facebook kama ilivyo, je nilikuwa nauliza 21 Isaac Newton na 93 Nikola Tesla walivumbua vitu Gani
  4. JamiiForums Tanzania Katika biashara mbaya zaidi duniani ni ya madawa ya kulevya. Haitaki utani kabisa

    Hii biashara ni hatari yani ukikosea steps umekufa wewe. Watu hawana huruma ukipoteza hata dollar 500 kupigwa chuma ni dakika Moja Hii biashara ukijiingiza kutoka ni nguma sana once a mafia cartel always a mafia. Ina risk sana vilevile ina pesa ya haraka sana huku impact yake kwa wale...
  5. JamiiForums Tanzania Jinsi ya Kuanzisha na Kufanikiwa Katika Biashara ya Butcher Tanzania

    Butcher inaweza kuanza na mtaji mdogo, lakini bila eneo sahihi, usafi, nyama bora na huduma nzuri kwa wateja—unaweza kuuza kila siku lakini bado usipate faida unayoitarajia. Biashara ya butcher ni miongoni mwa biashara zenye uhitaji wa kila siku kwa sababu nyama ni bidhaa inayotumiwa na...
  6. O

    JamiiForums Tanzania Asasi za kiraia -SADC zaomba SADC pannel of elders kufanya ziara na kukutana na wadau nchini Tanzania katika juhudi za kukwamua mkwamo wa kisiasa

    Asasi za Kiraia (CSOs) zipatazo Hamsini (50) zimesaini tamko la kuomba SADC Pannel of Elders kuja nchini Tanzania kukutana na kufanya mazungumzo na wadau mbalimbali waKIwemo Serikali ,Vyama vya Siasa,viongozi wakuu wastaafu,viongozi wa dini,Asasi za Kiraia kama sehemu ya juhudi za kutatua...
  7. JamiiForums Tanzania Yajue maajabu ya star anise spice (kash kash) katika tiba

    Star Anise (kash kash) ni kiungo cha thamani kinacholimwa zaidi maeneo ya milimani yenye baridi kama Lushoto na Nyanda za Juu Kusini. Mti wake huchukua miaka kadhaa kuanza kutoa matunda, huku msimu mkuu wa uvunaji ukiwa ni kati ya Machi na Mei. Baada ya kuvunwa, matunda haya huanikwa juani hadi...
  8. JamiiForums Tanzania Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga: Tunamtafuta ndugu wa Mtoto ambaye Mama na Kaka yake walifariki katika ajali ya basi

    TAARIFA KWA UMMA Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga inawatafuta ndugu au jamaa wa mtoto huyu wa kiume anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 5, ambaye hajafahamika jina lake. Mtoto huyo alinusurika katika ajali ya barabarani iliyotokea tarehe 20 Juni 2026 eneo la Wendele, iliyohusisha gari la...
  9. JamiiForums Tanzania Kukosekana maji Kazamoyo, Kirumba na Ilemela, MWAUWASA yasema "Pole Mdau kwa changamoto iliyojitokeza eneo lako"

    Julai 8, 2026 Mdau aliandika kuhusu changamoto ya maji kukosekana Kazamoyo, Kirumba, Ilemela – Mwanza, kusoma andiko lake bofya hapa ~ Kero ya upatikanaji wa maji Kazamoyo, Kirumba, Ilemela – Mwanza, ufafanuzi umetolewa na MWAUWASA. Majibu ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza...
  10. JamiiForums Tanzania Tuungane katika hii trend, Kataa Michango Ya Harusi

    Ni scum Ni Mr kuku Ni ponzi scheme Ni project ya wanakamati kula pesa zenu alafu wanawapa pilau kuku na soda Haiwezekani mtu anakuunga kwenye group ghafla anacheka na wewe sio kawaida yake na ameeka fix mchango laki moja. Alafu usipomchangia anajifanya kukukaushia. Michango iwe ya...
  11. JamiiForums Tanzania SI KWELI Zambia ilisajili wapiga kura milioni 14 katika uchaguzi wa mwaka 2026

    Kumekuwepo Chapisho linalosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, ikiwemo Facebook na Instagram, linadai kuwa Zambia ilisajili wapiga kura milioni 14 na kwamba katika uchaguzi huo zaidi ya watu milioni 14 walipiga kura.
  12. JamiiForums Tanzania Katika mkakati wa PPP ya Kafulila serikali isijenge stendi na masoko.

    Serikali sasa iachane na ujenzi wa stendi za magari na masoko. Haya ni mambo yanayoweza kufanywa na watu binafsi na pia hakuna maana tena ya kujenga majengo makubwa ya kukufanya watu pamoja kama stendi na masoko. Serikali sasa ijikite katika kujenga miondombinu ya reli na viwanja vya ndege...
  13. JamiiForums Tanzania Je Unatumia Bolt Business katika Biashara yako?

    Moja kati ya huduma ya kipekee ambayo nimekuwa nikitumia ni huduma ya BOLT Business Kwa wajasiriaali wengi ambao biashara zao huwahitaji kusafiri kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine uhitaji wa huduma bora ni moja kati ya jambo la muhimu sana,Mara nyingi baadhi yao hulazimika ama kusafiri na...
  14. O

    JamiiForums Kenya Jamia Mosque yafungua milango kwa wasiokuwa Waislamu katika kampeni ya kujenga uelewano

    Zaidi ya watu 700, wengi wao wakiwa Wakenya wasiokuwa Waislamu, walitembelea Jamia Mosque Nairobi katika Open Day iliyolenga kuwapa wananchi nafasi ya kujifunza kuhusu Uislamu moja kwa moja kutoka kwa viongozi wa dini, badala ya kutegemea taarifa zinazoweza kupotosha kutoka mitandao ya kijamii...
  15. JamiiForums Tanzania Katika miji niliyotembelea, Moshi ndio mji wa kijani zaidi

    Naongelea Urban Areas, achana na vijiji. Linapokuja suala la maeneo ya mijini sijaona mji wa kijani kama Moshi. Moshi kuna miti aisee. Unajua kama kule Mbeya sehemu walikojenga wakoloni kuna miti mingi na pa kijani sana, lakini mitaa mingi mipya ambayo wabongo tumejenga tumekata miti mno. Ila...
  16. JamiiForums Tanzania Ni uvumbuzi upi unakushangaza sana katika ulimwengu wa teknolojia?

    As salaam alaykum. Binafsi zitakuja teknolojia zote lakini hii ya Ndege kupaa kwakweli inanifikirisha sana. Imagine hizi Airbus zinaruka hewani na kutua kama vile hamna kitu kwakweli hapana hata AI ikasome. Vipi wewe teknolojia ipi inakushangaza?
  17. JamiiForums Tanzania BAKWATA wana ushwawishi na nguvu kubwa kuliko TEC katika siasa za nchi

    Kwenye siasa kuwa na msimamo unaoleweka na wa wazi ni jambo muhimu sana la kujenga heshima na kuaminika. Ukiangalia katika siasa za Tanzania BAKWATA wao wamejifungamanisha wazi kabisa na CCM na serikali yake, hawajifichi na msimamo wao uko wazi kabisa unaeleweka kwa watawala na wafuasi wao...
  18. X

    JamiiForums Tanzania Dunia ya AI Yaanza Kugawanyika Katika Mifumo Miwili: Marekani 🇺🇸 au China 🇨🇳 — Tanzania Itaegemea Upande Gani?

    China imezidi kuikalia kooni Marekani kwenye vita ya teknolojia ya AI hivi kwamba Marekani imeanza kuhofia kukosa ushawaishi na kuanza kuyapiga mikwara mataifa mengine duniani Iko hivi: Kwa mujibu wa Reuters, Marekani inaandaa kuishinikiza takribani nchi 35 zinazohusishwa na mpango wake wa Pax...
  19. JamiiForums Tanzania Mambo machache bora ya kuirudisha CCM katika misingi yake

    Hakuna haja ya kuunda tume wala kamati Hizi ni action zinazotakiwa kuchukuliwa 1. Zuia machawa katika chama 2. Rudisha mamlaka kwa wanachama wa chini ( wananchi), mambo ya watu wachache kukata majina na kuamua nani akagombee yasiwepo tena. 3. Zuia rushwa katika chama, hiyo ndio inaleta...
  20. JamiiForums Tanzania Je, Unatumiaje AI katika Biashara yako?

    Habari za wakti huu; Miaka ya 90 wakati TEHAMA imepamba moto Duniani kwa tuliokuwepo kufahamu namna ya kutumia Computer ilikuwa ni TREND na ni Muhimu.Katika Kipindi waliibuka watu waliotajirika na hata waliofilisika. Kw sasa hivi tuko katika zama za mbele zaidi ambazo ni zama za AI.Na kwa sasa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…