Swali ambalo Watanzania wengi wanapaswa kujiuliza ni hili:
Maridhiano yanayoshinikizwa na Serikali ya Chama Cha Mapinduzi yana faida gani ikiwa hayatajibu hoja za msingi kuhusu haki, uhuru wa kisiasa, utawala wa sheria na uaminifu wa mifumo ya uchaguzi?
Maridhiano sio lengo lenyewe...